Matayo 6:19-21

Matayo 6:19-21 SWC02

“Musijiwekee akiba katika dunia hii, pahali nondo na kutu vinapoharibu, nao wizi wanapotoboa nyumba na kuiba. Lakini mujiwekee akiba katika mbingu, pahali nondo wala kutu visipoweza kuharibu, nao wizi wasipoweza kutoboa na kuiba. Kwa maana pahali akiba yako inapokuwa, ni pale roho yako inapokuwa vilevile.

סרטון עבור Matayo 6:19-21

Verse Images for Matayo 6:19-21

Matayo 6:19-21 - “Musijiwekee akiba katika dunia hii, pahali nondo na kutu vinapoharibu, nao wizi wanapotoboa nyumba na kuiba. Lakini mujiwekee akiba katika mbingu, pahali nondo wala kutu visipoweza kuharibu, nao wizi wasipoweza kutoboa na kuiba. Kwa maana pahali akiba yako inapokuwa, ni pale roho yako inapokuwa vilevile.Matayo 6:19-21 - “Musijiwekee akiba katika dunia hii, pahali nondo na kutu vinapoharibu, nao wizi wanapotoboa nyumba na kuiba. Lakini mujiwekee akiba katika mbingu, pahali nondo wala kutu visipoweza kuharibu, nao wizi wasipoweza kutoboa na kuiba. Kwa maana pahali akiba yako inapokuwa, ni pale roho yako inapokuwa vilevile.Matayo 6:19-21 - “Musijiwekee akiba katika dunia hii, pahali nondo na kutu vinapoharibu, nao wizi wanapotoboa nyumba na kuiba. Lakini mujiwekee akiba katika mbingu, pahali nondo wala kutu visipoweza kuharibu, nao wizi wasipoweza kutoboa na kuiba. Kwa maana pahali akiba yako inapokuwa, ni pale roho yako inapokuwa vilevile.