לוגו של YouVersion
כתבי הקודשתכניותקטעי וידאו
הורד את האפליקציה
בורר שפה
סמל חיפוש

פסוקים פופולריים מ- 1 Mose 2

1

1 Mose 2:24

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Kwa sababu hii mtu atamwacha baba yake na mama yake, agandamiane na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja.

השווה

חקרו 1 Mose 2:24

2

1 Mose 2:18

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Bwana Mungu akasema: Hiafai, mtu akiwa peke yake, nitamfanyizia mwenziwe wa kusaidiana naye.

השווה

חקרו 1 Mose 2:18

3

1 Mose 2:7

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Naye Bwana Mungu alipomwumba mtu alimtengeneza na kutumia mavumbi ya nchi, kisha akampulizia puani mwake pumzi ya uzima; ndipo, mtu alipopata kuwa mwenye roho ya uzima.

השווה

חקרו 1 Mose 2:7

4

1 Mose 2:23

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Adamu akasema: Kweli huyu ni mfupa utokao katika mifupa yangu, ni mwenye mwili utokao mwilini mwangu; kwa hiyo ataitwa mwanamke, kwa kuwa ametolewa katika mwanamume.

השווה

חקרו 1 Mose 2:23

5

1 Mose 2:3

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

kwa hiyo Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, kwa kuwa siku hiyo Mungu alizipumzikia kazi zake zote, alizozifanya za kuumba.

השווה

חקרו 1 Mose 2:3

6

1 Mose 2:25

Swahili Roehl Bible 1937

SRB37

Nao wote wawili, Adamu na mkewe, walikuwa wenye uchi, lakini hawakuona soni.

השווה

חקרו 1 Mose 2:25

לפרק הקודם
לפרק הבא
YouVersion

מעודד ומאתגר אתכם לקשר הדוק עם אלוהים בכל יום.

מִשׂרָד

אודות

קריירה

התנדב

בלוג

לחץ

קישורים שימושיים

עזרה

תרום

גרסאות הכתובים

אודיו הכתובים

שפות התנ"ך

הפסוק של היום


משרד דיגיטלי של

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

מדיניות פרטיותתנאים
תוכנית לגילוי חולשות אחראי
פייסבוקטוויטראינטגרםיוטיובפינטרסט

בית

כתבי הקודש

תכניות

קטעי וידאו