לוגו של YouVersion
כתבי הקודשתכניותקטעי וידאו
הורד את האפליקציה
בורר שפה
סמל חיפוש

פסוקים פופולריים מ- Marko 7

1

Marko 7:21-23

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Kwa maana ni ndani ya mutu, ni kusema ndani ya moyo wake, ndimo munamotoka mawazo mabaya yanayoleta: uzinzi, wizi, uuaji, uasherati, tamaa mbaya, matendo mabaya, ukorofi, maisha ya ovyo, wivu, matukano, majivuno na upumbafu. Maovu haya yote yanatoka ndani ya mutu, nayo yanamufanya kuwa muchafu.”

השווה

חקרו Marko 7:21-23

2

Marko 7:15

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Hakuna kitu kinachoingia ndani ya mutu kutoka inje kinachoweza kumuchafua. Lakini kitu kinachotoka ndani yake ndicho kinachomuchafua. [

השווה

חקרו Marko 7:15

3

Marko 7:6

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Yesu akawajibu: “Isaya alitabiri vema wakati alipoandika maneno haya juu yenu ninyi wanafiki: ‘Mungu anasema: Watu hawa wananiheshimu kwa midomo yao, lakini mioyo yao ni mbali nami.

השווה

חקרו Marko 7:6

4

Marko 7:7

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Ibada wanayonifanyia ni ya bure, sababu mafundisho yao yanalingana na kanuni za watu tu.’ ”

השווה

חקרו Marko 7:7

5

Marko 7:8

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Yesu akaendelea kuwaambia: “Munaacha amri za Mungu pembeni na kushika desturi za watu.

השווה

חקרו Marko 7:8

תכניות קריאה חינמיות בנושא Marko 7

לפרק הקודם
לפרק הבא
YouVersion

מעודד ומאתגר אתכם לקשר הדוק עם אלוהים בכל יום.

מִשׂרָד

אודות

קריירה

התנדב

בלוג

לחץ

קישורים שימושיים

עזרה

תרום

גרסאות הכתובים

אודיו הכתובים

שפות התנ"ך

הפסוק של היום


משרד דיגיטלי של

Life.Church
עִברִית

©2026 Life.Church / YouVersion

מדיניות פרטיותתנאים
תוכנית לגילוי חולשות אחראי
פייסבוקטוויטראינטגרםיוטיובפינטרסט