1
Marko 2:17
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Yesu alisikia vile walivyosema, na kwa hiyo akawaambia: “Wenye afya nzuri hawahitaji muganga, ni wale wanaokuwa wagonjwa tu. Sikukuja kuwaita wenye haki kunifuata, lakini watenda mabaya.”
השווה
חקרו Marko 2:17
2
Marko 2:5
Yesu alipoona namna walivyomwaminia, akamwambia yule mwenye kupooza: “Mutoto wangu, zambi zako zimesamehewa.”
חקרו Marko 2:5
3
Marko 2:27
Yesu akaongeza kuwaambia: “Siku ya Sabato iliwekwa kwa ajili ya mafaa ya mutu, lakini mutu hakuumbwa kwa ajili ya siku ya Sabato.
חקרו Marko 2:27
4
Marko 2:4
Lakini kwa kuona hawakuweza kumufikisha mbele ya Yesu kwa sababu ya uwingi wa watu, wakabomoa dari juu ya pahali Yesu alipokuwa. Kisha wakamushusha yule mwenye kupooza kwenye nafasi ile walipobomoa, akilala juu ya kipoyi chake.
חקרו Marko 2:4
5
Marko 2:10-11
Basi, ninataka mujue kwamba Mwana wa Mutu yuko na mamlaka ya kusamehe zambi hapa katika dunia.” Kwa hiyo akamwambia yule mutu mwenye kupooza: “Ninakuamuru, simama, utwae kipoyi chako na uende kwako!”
חקרו Marko 2:10-11
6
Marko 2:9
Kitu gani kinachokuwa chepesi: kumwambia mutu mwenye kupooza ‘Zambi zako zimesamehewa’ au kumwambia ‘Simama, utwae kipoyi chako na utembee?’
חקרו Marko 2:9
7
Marko 2:12
Na watu wote walipokuwa wakimwangalia mutu yule, pale pale akasimama, akatwaa kipoyi chake na kujiendea. Wote wakashangaa, wakamusifu Mungu, wakisema: “Hatujaona mambo kama haya hata mara moja!”
חקרו Marko 2:12