לוגו של YouVersion
כתבי הקודשתכניותקטעי וידאו
הורד את האפליקציה
בורר שפה
סמל חיפוש

פסוקים פופולריים מ- Marko 15

1

Marko 15:34

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Na saa tisa Yesu akalalamika: “Eloi, Eloi, lama sabaktani” maana yake “Mungu wangu, Mungu wangu, kwa nini umeniacha?”

השווה

חקרו Marko 15:34

2

Marko 15:39

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Mukubwa wa waaskari aliyekuwa akisimama mbele ya Yesu, alipoona namna alivyokata roho, akasema: “Hakika mutu huyu alikuwa Mwana wa Mungu!”

השווה

חקרו Marko 15:39

3

Marko 15:38

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Basi pazia la hekalu likapasuka vipande viwili toka juu mpaka chini.

השווה

חקרו Marko 15:38

4

Marko 15:37

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Lakini Yesu akalalamika kwa sauti kubwa, akakata roho.

השווה

חקרו Marko 15:37

5

Marko 15:33

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Ilipokuwa saa sita ya muchana, giza likakuwa katika inchi yote mpaka saa tisa.

השווה

חקרו Marko 15:33

6

Marko 15:15

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Kwa kuwa Pilato alitaka kuwapendeza watu, basi akawafungulia Baraba. Na kisha kuamuru wamupige Yesu fimbo, akamutoa kusudi atundikwe juu ya musalaba.

השווה

חקרו Marko 15:15

תכניות קריאה חינמיות בנושא Marko 15

לפרק הקודם
לפרק הבא
YouVersion

מעודד ומאתגר אתכם לקשר הדוק עם אלוהים בכל יום.

מִשׂרָד

אודות

קריירה

התנדב

בלוג

לחץ

קישורים שימושיים

עזרה

תרום

גרסאות הכתובים

אודיו הכתובים

שפות התנ"ך

הפסוק של היום


משרד דיגיטלי של

Life.Church
עִברִית

©2026 Life.Church / YouVersion

מדיניות פרטיותתנאים
תוכנית לגילוי חולשות אחראי
פייסבוקטוויטראינטגרםיוטיובפינטרסט