1
Matayo 14:30-31
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Lakini alipoona upepo, akaogopa, na kwa vile alivyoanza kuzama ndani ya maji, akalalamika akisema: “Bwana, uniokoe!” Mara moja Yesu akanyoosha mukono, akamushika na kumwambia: “Ee wewe mwenye imani ndogo! Kwa sababu gani uliona shaka?”
השווה
חקרו Matayo 14:30-31
2
Matayo 14:30
Lakini alipoona upepo, akaogopa, na kwa vile alivyoanza kuzama ndani ya maji, akalalamika akisema: “Bwana, uniokoe!”
חקרו Matayo 14:30
3
Matayo 14:27
Lakini mara moja Yesu akasema nao, akiwaambia: “Mujipe moyo, ni mimi! Musiogope!”
חקרו Matayo 14:27
4
Matayo 14:28-29
Basi Petro akamwambia: “Bwana, ikiwa kweli ni wewe, utoe amri kusudi nifike pale unapokuwa, nikitembea juu ya maji.” Naye Yesu akamujibu: “Kuja.” Halafu Petro akatoka ndani ya chombo, akaanza kutembea juu ya maji kumufikia Yesu.
חקרו Matayo 14:28-29
5
Matayo 14:33
Basi wanafunzi waliokuwa ndani ya chombo wakapiga magoti mbele ya Yesu, wakisema: “Kweli wewe ni Mwana wa Mungu!”
חקרו Matayo 14:33
6
Matayo 14:16-17
Lakini Yesu akawajibu: “Si lazima waende; ninyi wenyewe muwape chakula.” Lakini wao wakamujibu: “Hapa tuko tu na mikate mitano na samaki mbili.”
חקרו Matayo 14:16-17
7
Matayo 14:18-19
Yesu akawaambia: “Muvilete hapa.” Kisha kuwaamuru watu waikae juu ya majani, Yesu akatwaa ile mikate mitano na samaki mbili, akainua macho mbinguni, akamushukuru Mungu. Akamega ile mikate, akawapa wanafunzi wake, nao wakaigawanya kwa kundi la watu.
חקרו Matayo 14:18-19
8
Matayo 14:20
Watu wote wakakula na kushiba. Kisha wanafunzi wakaokota vipande vya mikate vilivyobaki, wakajaza vitunga kumi na viwili.
חקרו Matayo 14:20