לוגו של YouVersion
כתבי הקודשתכניותקטעי וידאו
הורד את האפליקציה
בורר שפה
סמל חיפוש

פסוקים פופולריים מ- Matayo 12

1

Matayo 12:36-37

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

“Ninawaambia wazi kwamba kwa Siku ya hukumu, watu watasamba kila neno lisilokuwa na maana walilosema. Kwa maana kila mutu atapata sheria au kupata azabu kufuatana na maneno yake.”

השווה

חקרו Matayo 12:36-37

2

Matayo 12:34

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Ninyi kikundi cha nyoka! Namna gani ninyi munaokuwa wabaya, munaweza kusema maneno mazuri? Kwa maana kinywa kinasema maneno yanayojaa ndani ya moyo.

השווה

חקרו Matayo 12:34

3

Matayo 12:35

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Mutu muzuri anatwaa vitu vizuri toka ndani ya akiba yake nzuri, naye mutu mubaya anatwaa vitu vibaya toka ndani ya akiba yake mbaya.

השווה

חקרו Matayo 12:35

4

Matayo 12:31

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Kwa hiyo ninawaambia: watu wataweza kusamehewa zambi zote wanazofanya na matusi yao yote. Lakini mutu anayetukana Roho Mutakatifu hatasamehewa.

השווה

חקרו Matayo 12:31

5

Matayo 12:33

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

“Muti ukiwa muzuri, matunda yake yatakuwa mazuri vilevile; nao muti ukiwa mubaya, matunda yake yatakuwa mabaya vilevile. Kwa maana muti unatambulikana kwa matunda yake.

השווה

חקרו Matayo 12:33

תכניות קריאה חינמיות בנושא Matayo 12

לפרק הקודם
לפרק הבא
YouVersion

מעודד ומאתגר אתכם לקשר הדוק עם אלוהים בכל יום.

מִשׂרָד

אודות

קריירה

התנדב

בלוג

לחץ

קישורים שימושיים

עזרה

תרום

גרסאות הכתובים

אודיו הכתובים

שפות התנ"ך

הפסוק של היום


משרד דיגיטלי של

Life.Church
עִברִית

©2026 Life.Church / YouVersion

מדיניות פרטיותתנאים
תוכנית לגילוי חולשות אחראי
פייסבוקטוויטראינטגרםיוטיובפינטרסט