לוגו של YouVersion
כתבי הקודשתכניותקטעי וידאו
הורד את האפליקציה
בורר שפה
סמל חיפוש

פסוקים פופולריים מ- Mwanzo 2

1

Mwanzo 2:24

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Ndiyo maana mwanaume anamwacha baba yake na mama yake, na kuambatana na muke wake, nao wawili wanakuwa mwili mumoja.

השווה

חקרו Mwanzo 2:24

2

Mwanzo 2:18

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Kisha Yawe Mungu akasema: “Si vizuri huyu mwanaume kuwa peke yake. Nitamufanyia musaidizi wa kumufaa.”

השווה

חקרו Mwanzo 2:18

3

Mwanzo 2:7

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Halafu Yawe Mungu akamwumba mwanaume kwa udongo, akamupulizia ndani ya pua pumzi ya uzima, na yule mwanaume akakuwa kiumbe chenye uzima.

השווה

חקרו Mwanzo 2:7

4

Mwanzo 2:23

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Halafu huyo mwanaume akasema: “Kweli! Huyu ni mufupa kutoka mifupa yangu, na nyama kutoka nyama yangu. Huyu ataitwa ‘Mwanamuke’, kwa sababu ametolewa katika mwanaume.”

השווה

חקרו Mwanzo 2:23

5

Mwanzo 2:3

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Mungu akaibariki siku ya saba na kuitakasa, maana kwa siku hiyo Mungu alipumzika kisha kazi yake yote ya kuumba.

השווה

חקרו Mwanzo 2:3

6

Mwanzo 2:25

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Huyo mwanaume na muke wake wote walikuwa uchi, lakini hawakuona haya.

השווה

חקרו Mwanzo 2:25

לפרק הקודם
לפרק הבא
YouVersion

מעודד ומאתגר אתכם לקשר הדוק עם אלוהים בכל יום.

מִשׂרָד

אודות

קריירה

התנדב

בלוג

לחץ

קישורים שימושיים

עזרה

תרום

גרסאות הכתובים

אודיו הכתובים

שפות התנ"ך

הפסוק של היום


משרד דיגיטלי של

Life.Church
עִברִית

©2026 Life.Church / YouVersion

מדיניות פרטיותתנאים
תוכנית לגילוי חולשות אחראי
פייסבוקטוויטראינטגרםיוטיובפינטרסט