לוגו של YouVersion
כתבי הקודשתכניותקטעי וידאו
הורד את האפליקציה
בורר שפה
סמל חיפוש

פסוקים פופולריים מ- Ezekieli 2

1

Ezekieli 2:2-3

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Alipokuwa akisema nami, Roho wa Mungu akaniingia na kunisimamisha wima. Halafu nikamusikia akiniambia hivi: Wewe mwanadamu ninakutuma kwa Waisraeli, taifa la waasi ambao wameniasi. Wameendelea kunikosea mimi mpaka leo sawa vile babu zao walivyofanya.

השווה

חקרו Ezekieli 2:2-3

2

Ezekieli 2:7-8

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Wewe utawaambia maneno yangu, wakisikia au wakikataa kusikia, maana hao ni watu waasi. Lakini, ewe mwanadamu, usikilize ninayokuambia, wala usikuwe mwasi kama watu hao waasi. Ufungue kinywa chako, ukule ninachokupa.

השווה

חקרו Ezekieli 2:7-8

3

Ezekieli 2:5

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Wakisikia au wakikataa kusikia, maana hao ni watu waasi, watatambua kwamba nabii yuko katikati yao.

השווה

חקרו Ezekieli 2:5

לפרק הקודם
לפרק הבא
YouVersion

מעודד ומאתגר אתכם לקשר הדוק עם אלוהים בכל יום.

מִשׂרָד

אודות

קריירה

התנדב

בלוג

לחץ

קישורים שימושיים

עזרה

תרום

גרסאות הכתובים

אודיו הכתובים

שפות התנ"ך

הפסוק של היום


משרד דיגיטלי של

Life.Church
עִברִית

©2026 Life.Church / YouVersion

מדיניות פרטיותתנאים
תוכנית לגילוי חולשות אחראי
פייסבוקטוויטראינטגרםיוטיובפינטרסט