Hekima Ya Kirohoનમૂનો

Hekima ya kiroho inatokana na kuwa na mizizi katika maarifa yetu ya Mungu (Waefeso 1:17).
Ombi la Paulo kwa ajili ya Wakristo wa Efeso lilikuwa kwamba Mungu awape roho ya hekima na ya ufunuo katika kumjua Yeye. Kisha Paulo alieleza ujuzi huu mkuu zaidi wa Mungu kama kujua tumaini la mwito wake, utajiri wa utukufu wa urithi wake katika watakatifu, na ukuu usio na kipimo wa uweza wake kwetu sisi tunaoamini (Waefeso 1:18 – 20).
Hekima ya kiroho inaweza fafanuliwa kama, kufanya maamuzi yanayotegemea maoni na mtazamo wake Mungu. Tunapoendelea kumjua Mungu kwa undani zaidi, tunapata mtazamo wake kuhusu hali zetu na kupata hekima Yake ya kiroho kwa maamuzi yetu.
Je, unaweza kuelezea vipi barabara ambayo umekuwa ukisafiria hivi majuzi katika safari yako ya maisha? Je, unakabiliwa na maamuzi magumu na misukosuko na hali iliyojipinda pinda? Tulia sasa umuombe Mungu hekima yake kwa hali na maamuzi yanayokukabili.
શાસ્ત્ર
About this Plan

Safari zetu katika maisha mara nyingi zinaweza kuhisi kama barabara nyembamba, yenye hila. Hekima ya kiroho ni njia ya Mungu ya kushughulikia safari yetu ya maisha iliyopinda pinda, na isiyonyoofu. Mpango huu wa siku tatu wa Dk. Tony Evans utakuambia hatua za kufikia na kupata hekima hiyo ya kiroho.
More
સંબંધિત યોજનાઓ

Into the Clouds (Bible App for Kids)

Write Your Way Closer to God

Jesus Is Our "Light of the World"

Love Like a Mother -- Naomi and Ruth

Acts 21:17-22:21 | Staying True to Christ

Lord, I Believe

How to Read Weird Bible Stories

Grieving With Purpose: A Journey Through Loss

Money Matters
