Injili Ulimwenguni - Sehemu 3Näide

Yesu amponya mtu mwenye ukoma
Ikawa siku moja Yesu alipokuwa katika mji fulani, mtu mmoja mwenye ukoma mwili mzima akamjia.
Alipomwona Yesu, alianguka chini mpaka uso wake ukagusa ardhi na kumsihi akisema
"“Bwana, ukitaka waweza kunitakasa.”
"Yesu akanyosha mkono wake akamgusa yule mtu, akamwambia, “Nataka, takasika!”
"Naye mara ukoma ukapona. Yesu akamwagiza akisema, “Usimwambie mtu ye yote, bali nenda ukajionyeshe kwa kuhani na ukatoe dhabihu alizoagiza Mose ili kuwa ushuhuda kwao.”
Lakini habari zake Yesu zikazidi sana kuenea kotekote kuliko wakati mwingine wo wote, makutano makubwa ya watu yalikuwa yakikusanyika ili kumsikiliza na kuponywa magonjwa yao.
Lakini mara kwa mara Yesu alijitenga nao ili kwenda mahali pa faragha kuomba
Pühakiri
About this Plan

Mfuatano huu ni kusanyiko la hadithi kuhusu maisha Kristo itakayoshirikisha watazamaji wote ulimwenguni kwa kutumia mchanganyiko wa kuona na sauti. Maisha na mafundisho ya Yesu yalidhihirishwa katika kitabu hiki cha hadithi ambacho kinafuata masimulizi ya Agano Jipya yanayopatikana katika vitabu vya Injili vya Mathayo, Marko, Luka, na Yohana.
More
Related Plans

12 Days of Purpose

Pentecost and the Work of the Spirit

Nurturing Your Desire for More in a Healthy Way

Walk With God: 3 Days of Pilgrimage

The Lighthouse in the Fog

How God Doubled Our Income in 18 Days

The Path: What if the Way of Jesus Is Different Than You Thought?

The Way of the Wise

Overcoming Offense
