1
Mwanzo 35:11-12
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Tena Mungu akamwambia: “Mimi ni Mungu Mwenye Nguvu. Ujaliwe wazao wengi na kuongezeka. Taifa na kundi la mataifa watatokea kwako na wafalme watatokea katika uzao wako. Inchi niliyowapa Abrahamu na Isaka nitakupa wewe na wazao wako.”
Compare
Avasta Mwanzo 35:11-12
2
Mwanzo 35:3
Kisha, tutakwenda Beteli kusudi nimujengee Mungu mazabahu, Mungu ambaye alinisaidia siku ya taabu na kuwa nami popote nilipokwenda.”
Avasta Mwanzo 35:3
3
Mwanzo 35:10
Mungu akamwambia: “Jina lako ni Yakobo, lakini hautaitwa hivyo tena, lakini sasa jina lako litakuwa Israeli.” Kwa hiyo Yakobo akaitwa Israeli.
Avasta Mwanzo 35:10
4
Mwanzo 35:2
Basi, Yakobo akawaambia jamaa yake na wote aliokuwa nao: “Mutupilie mbali sanamu za miungu ya kigeni munazokuwa nazo, mujitakase na kubadilisha nguo zenu.
Avasta Mwanzo 35:2
5
Mwanzo 35:1
Siku moja, Mungu akamwambia Yakobo: “Anza safari, uende kuishi Beteli na kunijengea mazabahu kule, mimi Mungu niliyekutokea wakati ulipomukimbia kaka yako Esau.”
Avasta Mwanzo 35:1
6
Mwanzo 35:18
Rakeli akiwa karibu kufa, akamupa yule mutoto jina Beni-oni. Lakini baba yake akamwita mutoto yule Benjamina.
Avasta Mwanzo 35:18
Home
Bible
Plans
Videod