YouVersion-logo
BibelLæseplanerVideoer
Download appen
Sprogvælger
Søgeikon

Populære bibelvers fra Mathayo 25

1

Mathayo 25:40

Biblia Habari Njema

BHN

Mfalme atawajibu, ‘Kweli nawaambieni, kila kitu mlichomtendea mmojawapo wa hawa ndugu zangu wadogo, mlinitendea mimi.’

Sammenlign

Udforsk Mathayo 25:40

2

Mathayo 25:21

Biblia Habari Njema

BHN

Bwana wake akamwambia, ‘Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo, nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.’

Sammenlign

Udforsk Mathayo 25:21

3

Mathayo 25:29

Biblia Habari Njema

BHN

Maana, aliye na kitu atapewa na kuzidishiwa. Lakini yule asiye na kitu, hata kile alicho nacho kitachukuliwa.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 25:29

4

Mathayo 25:13

Biblia Habari Njema

BHN

Kisha Yesu akasema, “Kesheni basi, kwa maana hamjui siku wala saa.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 25:13

5

Mathayo 25:35

Biblia Habari Njema

BHN

Maana nilikuwa na njaa nanyi mkanipa chakula; nilikuwa na kiu nanyi mkanipa maji; nilikuwa mgeni nanyi mkanikaribisha

Sammenlign

Udforsk Mathayo 25:35

6

Mathayo 25:23

Biblia Habari Njema

BHN

Bwana wake akamwambia, ‘Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo, nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.’

Sammenlign

Udforsk Mathayo 25:23

7

Mathayo 25:36

Biblia Habari Njema

BHN

nilikuwa uchi, mkanivika; nilikuwa mgonjwa nanyi mkaja kunitazama; nilikuwa gerezani nanyi mkaja kunitembelea.’

Sammenlign

Udforsk Mathayo 25:36

Gratis læseplaner og andagter relateret til Mathayo 25

Forrige Kapitel
Næste Kapitel
YouVersion

Opmuntrer og udfordrer dig til at søge intimitet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Bliv frivillig

Blog

Presse

Nyttige links

Hjælp

Donér

Bibeloversættelser

Lydbibler

Bibelsprog

Dagens vers


Et digitalt ministerium af

Life.Church
Dansk

©2026 Life.Church / YouVersion

PrivatlivspolitikBetingelser
Procedure for offentliggørelse af sikkerhedssårbarheder
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest