YouVersion-logo
BibelLæseplanerVideoer
Download appen
Sprogvælger
Søgeikon

Populære bibelvers fra Mathayo 23

1

Mathayo 23:11

Biblia Habari Njema

BHN

Aliye mkubwa miongoni mwenu ni lazima awe mtumishi wenu.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 23:11

2

Mathayo 23:12

Biblia Habari Njema

BHN

Anayejikweza atashushwa, na anayejishusha atakwezwa.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 23:12

3

Mathayo 23:23

Biblia Habari Njema

BHN

Ole wenu waalimu wa sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnatoza watu sehemu moja ya kumi, hata juu ya majani yenye harufu nzuri, bizari na jira, na huku mnaacha mambo muhimu ya sheria kama vile haki, huruma na imani. Haya ndio hasa mliyopaswa kuyazingatia bila kusahau yale mengine.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 23:23

4

Mathayo 23:25

Biblia Habari Njema

BHN

“Ole wenu waalimu wa sheria na Mafarisayo, wanafiki! Mnasafisha kikombe na bakuli kwa nje, lakini ndani mnaacha kumejaa vitu mlivyopata kwa unyanganyi na uchoyo.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 23:25

5

Mathayo 23:37

Biblia Habari Njema

BHN

“Yerusalemu! Ee Yerusalemu! Unawaua manabii na kuwapiga mawe wale waliotumwa kwako. Mara ngapi nimejaribu kuwakusanya watoto wako kwangu, kama vile kuku anavyokusanya vifaranga vyake chini ya mabawa yake, lakini hukutaka.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 23:37

6

Mathayo 23:28

Biblia Habari Njema

BHN

Hali kadhalika nyinyi mnaonekana na watu kwa nje kuwa wema, lakini kwa ndani mmejaa unafiki na uovu.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 23:28

Gratis læseplaner og andagter relateret til Mathayo 23

Forrige Kapitel
Næste Kapitel
YouVersion

Opmuntrer og udfordrer dig til at søge intimitet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Bliv frivillig

Blog

Presse

Nyttige links

Hjælp

Donér

Bibeloversættelser

Lydbibler

Bibelsprog

Dagens vers


Et digitalt ministerium af

Life.Church
Dansk

©2026 Life.Church / YouVersion

PrivatlivspolitikBetingelser
Procedure for offentliggørelse af sikkerhedssårbarheder
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest