YouVersion-logo
BibelLæseplanerVideoer
Download appen
Sprogvælger
Søgeikon

Populære bibelvers fra Mathayo 9

1

Mathayo 9:37-38

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu akawaambia wafuasi wake, “Kuna mavuno mengi ya watu ya kuleta. Lakini kuna wafanyakazi wachache wa kusaidia kuwavuna. Mungu anamiliki mavuno. Mwombeni atume wafanyakazi wengi zaidi wa kusaidia kukusanya mavuno yake.”

Sammenlign

Udforsk Mathayo 9:37-38

2

Mathayo 9:13

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Nendeni mkajifunze andiko hili linamaanisha nini: ‘Sihitaji dhabihu ya mnyama; Ninataka ninyi mwoneshe wema kwa watu.’ Sikuja kuwaalika wema kujiunga nami, bali wenye dhambi.”

Sammenlign

Udforsk Mathayo 9:13

3

Mathayo 9:36

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu aliona watu wengi na kuwahurumia kwa sababu walikuwa wanakandamizwa na hawakuwa na tumaini; kama kondoo bila mchungaji wa kuwaongoza.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 9:36

4

Mathayo 9:12

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu alipowasikia wakisema hili, akawaambia, “Wagonjwa ndiyo wanaohitaji daktari si wenye afya.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 9:12

5

Mathayo 9:35

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu alisafiri akipita katika miji yote na vijiji. Alifundisha katika masinagogi yao na kuwaeleza watu Habari Njema kuhusu ufalme wa Mungu. Aliponya kila aina ya magonjwa na udhaifu.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 9:35

Gratis læseplaner og andagter relateret til Mathayo 9

Forrige Kapitel
Næste Kapitel
YouVersion

Opmuntrer og udfordrer dig til at søge intimitet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Bliv frivillig

Blog

Presse

Nyttige links

Hjælp

Donér

Bibeloversættelser

Lydbibler

Bibelsprog

Dagens vers


Et digitalt ministerium af

Life.Church
Dansk

©2026 Life.Church / YouVersion

PrivatlivspolitikBetingelser
Procedure for offentliggørelse af sikkerhedssårbarheder
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Hjem

Bibel

Læseplaner

Videoer