YouVersion-logo
BibelLæseplanerVideoer
Download appen
Sprogvælger
Søgeikon

Populære bibelvers fra Mathayo 22

1

Mathayo 22:37-39

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu akajibu, “‘Mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote na akili yako yote.’ Hii ndiyo amri ya kwanza na ya muhimu zaidi. Na amri ya pili ni kama ya kwanza: ‘Mpende jirani yako kama unavyojipenda wewe mwenyewe.’

Sammenlign

Udforsk Mathayo 22:37-39

2

Mathayo 22:40

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Sheria yote na maandiko ya manabii yamejengwa katika amri hizi mbili.”

Sammenlign

Udforsk Mathayo 22:40

3

Mathayo 22:14

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ndiyo, watu wengi wamealikwa, lakini wachache tu ndiyo waliochaguliwa.”

Sammenlign

Udforsk Mathayo 22:14

4

Mathayo 22:30

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Watu watakapofufuliwa kutoka kwa wafu, wanaume hawataoa wake na wanawake hawataozwa kwa wanaume. Kila mtu atakuwa kama malaika walio mbinguni.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 22:30

5

Mathayo 22:19-21

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Nionesheni sarafu inayotumika kulipa kodi.” Wakamwonesha Yesu sarafu iliyotengenezwa kwa fedha. Kisha Yesu akauliza, “Picha iliyo kwenye sarafu hii ni ya nani? Na jina lililo kwenye sarafu hii ni la nani?” Wakajibu, “Ni picha ya Kaisari na ni jina la Kaisari.” Ndipo Yesu akawajibu, “Mpeni Kaisari vilivyo vyake na mpeni Mungu vilivyo vyake.”

Sammenlign

Udforsk Mathayo 22:19-21

Gratis læseplaner og andagter relateret til Mathayo 22

Forrige Kapitel
Næste Kapitel
YouVersion

Opmuntrer og udfordrer dig til at søge intimitet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Bliv frivillig

Blog

Presse

Nyttige links

Hjælp

Donér

Bibeloversættelser

Lydbibler

Bibelsprog

Dagens vers


Et digitalt ministerium af

Life.Church
Dansk

©2026 Life.Church / YouVersion

PrivatlivspolitikBetingelser
Procedure for offentliggørelse af sikkerhedssårbarheder
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest