YouVersion-logo
BibelLæseplanerVideoer
Download appen
Sprogvælger
Søgeikon

Populære bibelvers fra Mathayo 11

1

Mathayo 11:28

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Njooni kwangu ninyi nyote mliochoka kutokana na mizigo mizito mnayolazimishwa kubeba. Nitawapa pumziko.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 11:28

2

Mathayo 11:29

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Chukueni nira yangu, jifunzeni kutoka kwangu. Mimi ni mwema na mnyenyekevu katika roho. Nanyi mtaweza kupumzika.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 11:29

3

Mathayo 11:30

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ndiyo, nira yangu ni rahisi. Mzigo ninaowapa muubebe ni mwepesi.”

Sammenlign

Udforsk Mathayo 11:30

4

Mathayo 11:27

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Baba yangu amenipa kila kitu. Hakuna amjuaye Mwana isipokuwa Baba peke yake. Na hakuna amjuaye Baba isipokuwa Mwana ndiye anayemjua Baba. Na watu pekee watakaomjua Baba ni wale ambao Mwana atachagua kuwaonesha.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 11:27

5

Mathayo 11:4-5

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mliyosikia na kuona: Vipofu wanaona. Viwete wanatembea. Watu wenye magonjwa ya ngozi wanaponywa. Wasiyesikia wanasikia. Wafu wanafufuliwa. Na habari njema inahubiriwa kwa maskini.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 11:4-5

6

Mathayo 11:15

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Ninyi watu mnaonisikia, sikilizeni!

Sammenlign

Udforsk Mathayo 11:15

Gratis læseplaner og andagter relateret til Mathayo 11

Forrige Kapitel
Næste Kapitel
YouVersion

Opmuntrer og udfordrer dig til at søge intimitet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Bliv frivillig

Blog

Presse

Nyttige links

Hjælp

Donér

Bibeloversættelser

Lydbibler

Bibelsprog

Dagens vers


Et digitalt ministerium af

Life.Church
Dansk

©2026 Life.Church / YouVersion

PrivatlivspolitikBetingelser
Procedure for offentliggørelse af sikkerhedssårbarheder
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Hjem

Bibel

Læseplaner

Videoer