YouVersion-logo
BibelLæseplanerVideoer
Download appen
Sprogvælger
Søgeikon

Populære bibelvers fra Mathayo 1

1

Mathayo 1:21

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Atamzaa mwana, nawe utamwita Yesu. Utampa jina hilo Yesu kwa sababu yeye atawaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”

Sammenlign

Udforsk Mathayo 1:21

2

Mathayo 1:23

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

“Sikiliza! Msichana bikira atapata mimba na atazaa mwana. Huyo watampa jina la Imanueli.” (Yaani “Mungu yu pamoja nasi”.)

Sammenlign

Udforsk Mathayo 1:23

3

Mathayo 1:20

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Lakini baada ya Yusufu kuliwazia jambo hili, Malaika wa Bwana alimjia katika ndoto na akamwambia, “Yusufu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Mariamu awe mke wako. Mimba aliyonayo ameipata kwa uweza wa Roho Mtakatifu.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 1:20

4

Mathayo 1:18-19

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Kuzaliwa kwa Yesu Masihi, kulikuwa hivi: Mariamu mama yake alikuwa amechumbiwa na Yusufu. Kabla hawajaoana, Yusufu aligundua kuwa Mariamu alikuwa mja mzito. (Yeye alipata mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.) Kwa kuwa Yusufu alitaka kufanya kile kilichokuwa, alikusudia kumwacha Mariamu kwa siri bila ya kumvunjia heshima.

Sammenlign

Udforsk Mathayo 1:18-19

Gratis læseplaner og andagter relateret til Mathayo 1

Næste Kapitel
YouVersion

Opmuntrer og udfordrer dig til at søge intimitet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Bliv frivillig

Blog

Presse

Nyttige links

Hjælp

Donér

Bibeloversættelser

Lydbibler

Bibelsprog

Dagens vers


Et digitalt ministerium af

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

PrivatlivspolitikBetingelser
Procedure for offentliggørelse af sikkerhedssårbarheder
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Hjem

Bibel

Læseplaner

Videoer