YouVersion-logo
BibelLæseplanerVideoer
Download appen
Sprogvælger
Søgeikon

Populære bibelvers fra Yohana 5

1

Yohana 5:24

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Kwa hakika nawaambia, yeyote anayesikia ninayosema na kumwamini yule aliyenituma anao uzima wa milele. Hawa hawatahukumiwa kuwa na hatia. Kwani tayari wameshaivuka mauti na kuingia ndani ya uzima.

Sammenlign

Udforsk Yohana 5:24

2

Yohana 5:6

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Yesu alimwona akiwa amelala hapo na kutambua kuwa amekuwa mgonjwa kwa muda mrefu sana. Hivyo akamwuliza, “Je! unataka kuwa mzima?”

Sammenlign

Udforsk Yohana 5:6

3

Yohana 5:39-40

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Mnajifunza Maandiko kwa makini. Nanyi mnafikiri kuwa yanawapa uzima wa milele. Maandiko haya haya yanaeleza habari zangu! Lakini mnakataa kuja kwangu kuupata huo uzima.

Sammenlign

Udforsk Yohana 5:39-40

4

Yohana 5:8-9

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Kisha Yesu akasema, “Simama juu! Beba kirago chako na utembee.” Mara hiyo, mtu huyo akapona. Akabeba kirago chake na kuanza kutembea. Siku yalipotokea haya yote ilikuwa ni Siku ya Sabato.

Sammenlign

Udforsk Yohana 5:8-9

5

Yohana 5:19

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Lakini Yesu akajibu, “Hakika nawaambieni kuwa Mwana hawezi kufanya chochote peke yake. Bali hufanya tu yale anayoona Baba yake anayafanya. Kwa maana Mwana hufanya mambo ambayo Baba huyafanya.

Sammenlign

Udforsk Yohana 5:19

Gratis læseplaner og andagter relateret til Yohana 5

Forrige Kapitel
Næste Kapitel
YouVersion

Opmuntrer og udfordrer dig til at søge intimitet med Gud hver dag.

Tjeneste

Om

Karrierer

Bliv frivillig

Blog

Presse

Nyttige links

Hjælp

Donér

Bibeloversættelser

Lydbibler

Bibelsprog

Dagens vers


Et digitalt ministerium af

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

PrivatlivspolitikBetingelser
Procedure for offentliggørelse af sikkerhedssårbarheder
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Hjem

Bibel

Læseplaner

Videoer