Biblica, The International Bible Society, inawapa watu Maandiko ya Mwenyezi Mungu kupitia kutafsiri na kuchapisha Maandiko, na mipango ya kushirikisha watu kusoma Maandiko katika Afrika, Asia ya Mashariki na Pasifiki, Ulaya, Amerika ya Kilatini, Mashariki ya Kati, Amerika ya Kaskazini, na Asia ya Kusini. Kupitia mpango wake wa kufikia dunia nzima, Biblica inahusisha watu na Maandiko ya Mwenyezi Mungu ili maisha yao yapate kubadilishwa kupitia uhusiano wao na Isa Al-Masihi.


Biblica, Inc.

NMM ناشر

مزید جانئیں

Other Versions by Biblica, Inc.

YouVersion آپ کے تجربے کو ذاتی بنانے کے لیے کوکیز کا استعمال کرتا ہے۔ ہماری ویب سائٹ کا استعمال کرتے ہوئے، آپ ہماری کوکیز کے استعمال کو قبول کرتے ہیں جیسا کہ ہماری رازداری کی پالیسیمیں بیان کیا گیا ہے۔