1
Waroma 9:16
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi mambo hayo, hayatokani na mapenzi ya mutu wala juhudi yake, lakini yanatokana na rehema ya Mungu.
موازنہ
تلاش Waroma 9:16
2
Waroma 9:15
Kwa maana anamwambia Musa: “Nitamuhurumia yule ninayependa kumuhurumia; nitamurehemu yule ninayependa kumurehemu.”
تلاش Waroma 9:15
3
Waroma 9:20
Halafu sasa wewe mwanadamu ni nani hata ubishane na Mungu? Chombo cha udongo hakiwezi kumwuliza mufinyanzi: “Kwa nini umenitengeneza hivi?”
تلاش Waroma 9:20
4
Waroma 9:18
Basi ni kusema kwamba Mungu anamuhurumia yule anayetaka, na kumufanya mugumu yule anayetaka.
تلاش Waroma 9:18
5
Waroma 9:21
Mufinyanzi anaweza kufanya sawa vile anavyotaka na udongo. Toka donge moja la udongo anaweza kutengeneza chombo kimoja cha heshima na kingine cha matumizi ya kawaida.
تلاش Waroma 9:21
صفحہ اول
بائبل
مطالعاتی منصوبہ
Videos