1
Yakobo 4:7
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Basi mumutii Mungu. Mupingane na Shetani, naye atawakimbia.
موازنہ
تلاش Yakobo 4:7
2
Yakobo 4:8
Mumukaribie Mungu, naye atawakaribia. Musafishe mikono yenu, ninyi wenye zambi! Mutakase mioyo yenu, ninyi wenye nia mbili!
تلاش Yakobo 4:8
3
Yakobo 4:10
Mujinyenyekeze mbele ya Bwana, naye atawainua.
تلاش Yakobo 4:10
4
Yakobo 4:6
Lakini Mungu ametujalia neema kubwa zaidi, kwa maana Maandiko yanasema: “Mungu anapingana na wenye kiburi, lakini anawajalia wanyenyekevu neema.”
تلاش Yakobo 4:6
5
Yakobo 4:17
Basi, mutu anayejua kutenda mema wala hayatendi, anafanya zambi.
تلاش Yakobo 4:17
6
Yakobo 4:3
Wakati munapoomba, hamupati kitu kwa sababu munaomba kwa nia mbaya, kwa maana munataka vitu kusudi mutimize tu tamaa zenu.
تلاش Yakobo 4:3
7
Yakobo 4:4
Ninyi watu wasiokuwa na uaminifu! Hamujui kwamba kupenda raha ya dunia ni kuwa adui wa Mungu? Basi yeye anayetaka kupenda raha za dunia anajifanya mwenyewe kuwa adui wa Mungu.
تلاش Yakobo 4:4
8
Yakobo 4:14
Ninyi hamujui namna gani maisha yenu yatakavyokuwa kesho! Kwa maana ninyi ni kama muvuke unaoonekana kwa wakati kidogo, kisha unatoweka.
تلاش Yakobo 4:14
صفحہ اول
بائبل
مطالعاتی منصوبہ
Videos