1
Matendo ya Mitume 7:59-60
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Walipokuwa wakimutupia mawe, Stefano akaomba akisema: “Ee Bwana Yesu, pokea roho yangu.” Kisha akapiga magoti, akalalamika, akisema: “Bwana, usiwahesabie zambi hii.” Na nyuma ya kusema maneno haya, akakufa.
موازنہ
تلاش Matendo ya Mitume 7:59-60
2
Matendo ya Mitume 7:49
‘Mbingu ni kiti changu cha kifalme, nayo dunia ni kiti changu cha kupumzishia miguu. Basi ni nyumba gani munayoweza kunijengea? Au ni nafasi gani munaweza kuniwekea makao?
تلاش Matendo ya Mitume 7:49
3
Matendo ya Mitume 7:57-58
Basi wale wajumbe wakafunga masikio yao, wakapiga kelele kwa nguvu na kumurukia wote pamoja. Wakamukokota na kumupeleka mbali na muji na kuanza kumutupia mawe kusudi wamwue. Wale washuhuda wakavua nguo zao na kuziwekesha kijana mumoja Saulo.
تلاش Matendo ya Mitume 7:57-58
صفحہ اول
بائبل
مطالعاتی منصوبہ
Videos