Uwaendee watu hawa na kuwaambia:
Kusikia mutasikia, lakini hamutafahamu.
Kuangalia mutaangalia, lakini hamutatambua.
Maana mioyo ya watu hawa imegeuka kuwa migumu,
wameziba masikio yao na
wamefunga macho yao.
Isingekuwa hivi,
wangeona na macho yao, wangesikia na masikio yao,
wangefahamu na mioyo yao, na wangegeukia kwangu na ningewaponyesha.