YouVersion Logo
بائبلمطالعاتی منصوبہVideos
اپلی کیشن حاصل کریں
زبان کا انتخاب کنندہ
تلاش

2 Wakorinto 6 سے مشہور بائبلی آیات

1

2 Wakorinto 6:14

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Musishirikiane pamoja na watu wasioamini. Kwa maana kuna ushirika gani kati ya haki na uovu? Kuna mapatano gani kati ya mwangaza na giza?

موازنہ

تلاش 2 Wakorinto 6:14

2

2 Wakorinto 6:16

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Kuna ulinganisho gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi ni hekalu la Mungu Mwenye Uzima kama vile yeye mwenyewe alivyosema: “Nitakaa na kuishi pamoja nao, nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”

موازنہ

تلاش 2 Wakorinto 6:16

3

2 Wakorinto 6:17-18

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Kwa sababu hiyo Bwana anasema: “Mutoke kati yao, mujitenge nao. Musiguse kitu chochote kinachohesabiwa kuwa kichafu, nami nitawapokea. Nitakuwa Baba yenu nanyi mutakuwa wana na wabinti wangu. Ni mimi Bwana Mwenye Uwezo ninayesema.”

موازنہ

تلاش 2 Wakorinto 6:17-18

4

2 Wakorinto 6:15

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Kuna masikilizano gani kati ya Kristo na Shetani? Au mutu anayeamini yuko na ushirika gani na mutu asiyeamini?

موازنہ

تلاش 2 Wakorinto 6:15

پچھلا باب
اگلا باب
YouVersion

آپ کو ہر روز خدا کے ساتھ قربت حاصل کرنے کی ترغیب دینا اور چیلنج کرنا۔.

خدمت

بارے میں

آسامیاں

رضاکار

Blog

Press

Useful Links

مدد

ہدیہ دیں

بائبل ورژن

Audio Bibles

بائبل کی زبانیں

آج کی آیت


کی ایک ڈیجیٹل خدمت

Life.Church
English (US)

©2026 Life.Church / YouVersion

Privacy Policyشرائط
حساس کا انکشاف کرنے والا عمل
FacebookTwitterInstagramیوٹیوبپنٹیرسٹ

صفحہ اول

بائبل

مطالعاتی منصوبہ

Videos