1
1 Watesalonika 5:16-18
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mukuwe na furaha siku zote. Muombe bila kuchoka. Mumushukuru Mungu katika mambo yote. Kwa maana hayo ndiyo mambo Mungu anayotaka mufanye katika kuungana kwenu na Yesu Kristo.
موازنہ
تلاش 1 Watesalonika 5:16-18
2
1 Watesalonika 5:23-24
Mungu wa amani mwenyewe awatakase kabisa, alinde uzima wenu wote ndiyo roho, moyo na mwili wenu, kusudi visikutiwe na kosa wakati Bwana wetu Yesu Kristo atakaporudia. Yule anayewaita ninyi atatimiza mambo hayo, kwa maana yeye ni mwaminifu.
تلاش 1 Watesalonika 5:23-24
3
1 Watesalonika 5:15
Muangalie vema, hata mumoja wenu asimurudishie mwenzake ubaya kwa ubaya, lakini mutafutiane wema ninyi kwa ninyi na kwa watu wote.
تلاش 1 Watesalonika 5:15
4
1 Watesalonika 5:11
Basi mufarijiane na kujengana imani, kama vile munavyozoea kufanya.
تلاش 1 Watesalonika 5:11
5
1 Watesalonika 5:14
Tunawasihi wandugu, muwaonye wale wanaokuwa wavivu, muwatie moyo wale wanaoregea, muwasaidie wale wanaokuwa zaifu, na mukuwe wavumilivu kwa watu wote.
تلاش 1 Watesalonika 5:14
6
1 Watesalonika 5:9
Kwa maana Mungu hakututayarishia kuangamizwa kwa ukali wa kasirani yake, lakini kuokolewa kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.
تلاش 1 Watesalonika 5:9
7
1 Watesalonika 5:5
Kwa maana ninyi wote ni watu wanaoishi katika mwangaza, ndio watu wa muchana. Sisi si watu wa usiku wala wa giza.
تلاش 1 Watesalonika 5:5
صفحہ اول
بائبل
مطالعاتی منصوبہ
Videos