YouVersion Logo
بائبلمطالعاتی منصوبہVideos
اپلی کیشن حاصل کریں
زبان کا انتخاب کنندہ
تلاش

Mathayo 1 سے مشہور بائبلی آیات

1

Mathayo 1:21

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Atamzaa mwana, nawe utamwita Yesu. Utampa jina hilo Yesu kwa sababu yeye atawaokoa watu wake kutoka dhambi zao.”

موازنہ

تلاش Mathayo 1:21

2

Mathayo 1:23

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

“Sikiliza! Msichana bikira atapata mimba na atazaa mwana. Huyo watampa jina la Imanueli.” (Yaani “Mungu yu pamoja nasi”.)

موازنہ

تلاش Mathayo 1:23

3

Mathayo 1:20

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Lakini baada ya Yusufu kuliwazia jambo hili, Malaika wa Bwana alimjia katika ndoto na akamwambia, “Yusufu mwana wa Daudi, usiogope kumchukua Mariamu awe mke wako. Mimba aliyonayo ameipata kwa uweza wa Roho Mtakatifu.

موازنہ

تلاش Mathayo 1:20

4

Mathayo 1:18-19

Agano Jipya: Tafsiri ya Kusoma-Kwa-Urahisi

TKU

Kuzaliwa kwa Yesu Masihi, kulikuwa hivi: Mariamu mama yake alikuwa amechumbiwa na Yusufu. Kabla hawajaoana, Yusufu aligundua kuwa Mariamu alikuwa mja mzito. (Yeye alipata mimba kwa uweza wa Roho Mtakatifu.) Kwa kuwa Yusufu alitaka kufanya kile kilichokuwa, alikusudia kumwacha Mariamu kwa siri bila ya kumvunjia heshima.

موازنہ

تلاش Mathayo 1:18-19

اس Mathayo 1 کے مطابق مفت مطالعاتی منصوبے اور عقیدت بھرے پیغام

اگلا باب
YouVersion

آپ کو ہر روز خدا کے ساتھ قربت حاصل کرنے کی ترغیب دینا اور چیلنج کرنا۔.

خدمت

بارے میں

آسامیاں

رضاکار

Blog

Press

Useful Links

مدد

ہدیہ دیں

بائبل ورژن

Audio Bibles

بائبل کی زبانیں

آج کی آیت


کی ایک ڈیجیٹل خدمت

Life.Church
English (US)

©2025 Life.Church / YouVersion

Privacy Policyشرائط
حساس کا انکشاف کرنے والا عمل
FacebookTwitterInstagramیوٹیوبپنٹیرسٹ

صفحہ اول

بائبل

مطالعاتی منصوبہ

Videos