Mwanzo 41:39-40

Mwanzo 41:39-40 SWC02

Kisha akamwambia Yosefu: “Kwa sababu Mungu amekufunulia haya yote, hakuna mutu mwingine mwenye akili na hekima kama wewe. Wewe ndiwe utakayeisimamia inchi yangu, na watu wangu wote watakuwa chini ya amri yako. Mimi tu ndiye mukubwa kuliko wewe kwa kuwa ninaikalia kiti cha kifalme.

Хонда шуд Mwanzo 41

Нақшаҳои хониши ройгон ва садоқатҳои марбут ба Mwanzo 41:39-40