Kutoka 20:4-5

Kutoka 20:4-5 SWC02

Usijifanyie sanamu ya miungu, wala mufano wa kitu chochote kinachokuwa juu mbinguni, wala kinachokuwa chini katika dunia, wala kinachokuwa ndani ya maji chini ya dunia. Usiiname mbele yao wala kuvitumikia, kwa sababu mimi Yawe, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu. Ninawaazibu wana kwa ajili ya maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha ine cha wale wanaonichukia.

Хонда шуд Kutoka 20

Нақшаҳои хониши ройгон ва садоқатҳои марбут ба Kutoka 20:4-5