Kutoka 15:23-25

Kutoka 15:23-25 SWC02

Walipofika pahali panapoitwa Mara, hawakuweza kunywa maji ya Mara kwa sababu yalikuwa machungu. Kwa sababu hiyo pahali pale pakaitwa Mara, ni kusema “Uchungu”. Basi, watu wote wakamunungunikia Musa wakisema: “Sasa tutakunywa nini?” Halafu Musa akamulilia Yawe, naye akamwonyesha kipande cha muti, na Musa akakitumbukiza katika maji. Maji hayo yakakuwa mazuri. Kule Mungu aliwapa Waisraeli sharti na agizo, kusudi awapime

Хонда шуд Kutoka 15