1
Mattayo MT. 16:24
New Testament in Swahili (Zanzibar) Revised Edition 1921
SWZZB1921
Wakati huo Yesu aliwaambia wanafunzi wake, Mtu atakae kuandama nyuma yangu, ajikane nafsi yake, ajitwike msalaba wake, anifuate.
Муқоиса
Mattayo MT. 16:24 омӯзед
2
Mattayo MT. 16:18
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na jun ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; na milango ya kuzimu haitalishinda.
Mattayo MT. 16:18 омӯзед
3
Mattayo MT. 16:19
Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litafungwa mbinguni: na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
Mattayo MT. 16:19 омӯзед
4
Mattayo MT. 16:25
Maana mtu atakae kuisalimisha roho yake, ataiangamiza; na mtu atakaeitoa roho yake kwa ajili yangu, ataiona.
Mattayo MT. 16:25 омӯзед
5
Mattayo MT. 16:26
Kwa maana atafaidiwa mtu nini akiupata ulimwengu wote, na kupata khasara ya roho yake? au mtu atatoa nini badala ya roho yake?
Mattayo MT. 16:26 омӯзед
6
Mattayo MT. 16:15-16
Akawaambia, Na ninyi mwaninena mimi kuwa nani? Simon Petro akajibu, akasema, Wewe ndiwe Kristo, Mwana wa Mungu aliye hayi.
Mattayo MT. 16:15-16 омӯзед
7
Mattayo MT. 16:17
Yesu akajibu, akamwambia, U kheri Simon bar Yunus; kwa kuwa nyama na damu hazikukufunulia haya, bali Baba yangu aliye mbinguni.
Mattayo MT. 16:17 омӯзед
Асосӣ
Китоби Муқаддас
Нақшаҳо
Видео