Логотипи YouVersion
Китоби МуқаддасНақшаҳоВидео
Get the app
Language Selector
Search Icon

Popular Bible Verses from Hesabu 16

1

Hesabu 16:30-32

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Lakini Yawe akifanya jambo ambalo halijapata kutendeka, udongo ukifunguka na kuwameza watu hawa pamoja na kila kitu chao, na kwenda kuzimu wakiwa uzima, basi mutajua kwamba watu hawa wamemuzarau Yawe. Mara tu alipomaliza kusema maneno hayo yote, udongo chini ya Datani na Abiramu ikafunuka na kuwameza watu hao, jamaa zao, pamoja na wafuasi wote wa Kora na mali zao zote.

Муқоиса

Hesabu 16:30-32 омӯзед

2

Hesabu 16:1-2

BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

SWC02

Kisha Kora mwana wa Isihari mwana wa Kohati mwana wa Lawi, akatwaa watu pamoja na watu watatu wa ukoo wa Rubeni: Datani na Abiramu, wana wa Eliabu, na Oni mwana wa Peleti. Hao wote waliungwa mukono na viongozi wenye heshima mia mbili makumi tano waliochaguliwa na Waisraeli, wakamwasi Musa.

Муқоиса

Hesabu 16:1-2 омӯзед

Нақшаҳои хониши ройгон ва садоқатҳои марбут ба Hesabu 16

Боби гузашта
Боби навбати
YouVersion

Encouraging and challenging you to seek intimacy with God every day.

Ministry

Дар бораи

Careers

Ихтиёрӣ

Блог

Пахш кунед

Useful Links

Кӯмак

Хайрия кардан

Bible Versions

Audio Bibles

Забонҳои Китоби Муқаддас

Ояти Рӯз


A Digital Ministry of

Life.Church
English (US)

©2026 Life.Church / YouVersion

Сиёсати МахфӣШартҳо
Vulnerability Disclosure Program
FacebookTwitterInstagramYouTubePinterest

Асосӣ

Китоби Муқаддас

Нақшаҳо

Видео