1
Walawi 26:12
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nitatembea kati yenu na kuwa Mungu wenu nanyi mutakuwa watu wangu.
Муқоиса
Walawi 26:12 омӯзед
2
Walawi 26:4
nitawanyeshea mvua kwa wakati unaofaa, inchi ipate kuzaa mavuno kwa wingi, nayo miti ya mashamba matunda yake.
Walawi 26:4 омӯзед
3
Walawi 26:3
Kama mukifuata masharti yangu na kushika amri zangu
Walawi 26:3 омӯзед
4
Walawi 26:6
Nitawapa amani katika inchi hata muweze kulala bila kuogopeshwa na chochote. Nitaondoa nyama wakali katika inchi na inchi yenu haitapatwa na vita.
Walawi 26:6 омӯзед
5
Walawi 26:9
Nitawarehemu na kuwajalia mupate watoto wengi na kuongezeka. Nami nitaliimarisha agano langu nanyi.
Walawi 26:9 омӯзед
6
Walawi 26:13
Mimi ni Yawe, Mungu wenu, niliyewatoa katika inchi ya Misri kusudi musikuwe watumwa wa Wamisri. Mimi nimevunja nira muliyofungiwa katika shingo lenu na kuwafanya mutembee wima.
Walawi 26:13 омӯзед
7
Walawi 26:11
Nitaweka makao yangu kati yenu, wala sitawaachilia.
Walawi 26:11 омӯзед
8
Walawi 26:1
Musijitengenezee sanamu za miungu ya uongo, musishike sanamu zao za kuchongwa wala nguzo wala sanamu za mawe yaliyochongwa katika inchi yenu na kuviabudu. Mimi ni Yawe, Mungu wenu.
Walawi 26:1 омӯзед
9
Walawi 26:10
Wakati wa mavuno mutakuwa mungali munakula mazao ya zamani. Tena itawapasa kuondoa yaliyobaki kwa kupata nafasi ya kulinda mavuno mapya.
Walawi 26:10 омӯзед
10
Walawi 26:8
Watano wenu watafukuza waadui mia moja na mia moja wenu watafukuza waadui elfu kumi. Waadui zenu wataangamia mbele yenu kwa upanga.
Walawi 26:8 омӯзед
11
Walawi 26:5
Kupepeta ngano kutaendelea mpaka wakati wa kuvuna zabibu, na mavuno ya zabibu mpaka wakati wa kupanda mbegu. Mutakuwa na chakula tele na kuishi kwa usalama katika inchi yenu.
Walawi 26:5 омӯзед
12
Walawi 26:7
Mutafukuza waadui zenu na kuwaua kwa upanga.
Walawi 26:7 омӯзед
13
Walawi 26:2
Mushike Sabato zangu na kuheshimu Pahali pangu Patakatifu. Mimi ni Yawe.
Walawi 26:2 омӯзед
Асосӣ
Китоби Муқаддас
Нақшаҳо
Видео