1
Walawi 20:13
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kama mwanaume yeyote akilala na mwanaume mwenzake sawa vile ni mwanamuke, basi, wote wawili wanapaswa kuuawa maana wamefanya jambo linalokuwa chukizo na damu yao itakuwa juu yao wenyewe.
Муқоиса
Walawi 20:13 омӯзед
2
Walawi 20:7
Kwa hiyo, mujitakase mukuwe watakatifu, maana mimi ni Yawe, Mungu wenu.
Walawi 20:7 омӯзед
3
Walawi 20:26
Kwa sababu mimi Yawe ni mutakatifu, nami nimewatenga ninyi na mataifa mengine kusudi mukuwe mali yangu, mutakuwa watakatifu.
Walawi 20:26 омӯзед
4
Walawi 20:8
Mushike masharti yangu na kuyatimiza. Mimi ni Yawe ninayewatakasa.
Walawi 20:8 омӯзед
Асосӣ
Китоби Муқаддас
Нақшаҳо
Видео