1
Walawi 10:1
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Nadabu na Abihu, wana wa Haruni, wakatwaa kila mumoja chetezo chake, wakaweka moto na ubani, wakamutolea Yawe moto usioruhusiwa, ambao haukulingana na agizo la Yawe.
Муқоиса
Walawi 10:1 омӯзед
2
Walawi 10:3
Kwa hiyo, Musa akamwambia Haruni: Kwa tukio hili Yawe amekuonyesha maana ya kile alichosema: Nitajionyesha kuwa mutakatifu kati ya wale wanaokuwa karibu nami, nitatukuzwa mbele ya watu wote! Haruni akanyamaza kimya.
Walawi 10:3 омӯзед
3
Walawi 10:2
Basi, moto ukatokea mbele ya Yawe, ukawateketeza hao vijana, wakakufa mbele yake.
Walawi 10:2 омӯзед
Асосӣ
Китоби Муқаддас
Нақшаҳо
Видео