1
Mwanzo 46:3
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Mungu akamwambia: “Mimi ni Mungu, Mungu wa baba yako. Usiogope kwenda Misri. Utakapokuwa kule, nitakufanya kuwa taifa kubwa.
Муқоиса
Mwanzo 46:3 омӯзед
2
Mwanzo 46:4
Mimi mwenyewe nitakwenda pamoja nawe kule Misri na kukurudisha huku. Utakapokufa, mukono wa Yosefu ndio utakaofumba macho yako.”
Mwanzo 46:4 омӯзед
3
Mwanzo 46:29
Yosefu akapanda gari lake la farasi, akakwenda kumupokea baba yake Israeli, kule Goseni. Alipomufikia baba yake, alimukumbatia na kulia kwa kitambo kirefu.
Mwanzo 46:29 омӯзед
4
Mwanzo 46:30
Israeli akamwambia Yosefu: “Hata nikikufa sasa si kitu kwa sababu nimeuona uso wako na kujua kwamba wewe uko muzima!”
Mwanzo 46:30 омӯзед
Асосӣ
Китоби Муқаддас
Нақшаҳо
Видео