1
Mwanzo 42:21
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Kisha wakasemezana wao kwa wao: “Kweli sisi tulimukosea ndugu yetu. Ingawa tulimwona katika taabu, hatukumujali hata alipotusihi. Ndiyo maana taabu hii yote inatupata.”
Муқоиса
Mwanzo 42:21 омӯзед
2
Mwanzo 42:6
Wakati ule Yosefu alikuwa mukubwa kule Misri. Yeye ndiye aliyekuwa akiwauzishia wanainchi ngano. Basi, kaka zake wakakuja na kuinama mbele ya Yosefu kwa heshima.
Mwanzo 42:6 омӯзед
3
Mwanzo 42:7
Yosefu alipoona kaka zake akawatambua, lakini akajifanya sawa vile hawafahamu, akasema nao kwa ukali. Akawauliza: “Mumetoka wapi ninyi?” Wakamujibu: “Tumetoka katika inchi ya Kanana, tumekuja kununua chakula.”
Mwanzo 42:7 омӯзед
Асосӣ
Китоби Муқаддас
Нақшаҳо
Видео