1
Mwanzo 25:23
BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
SWC02
Yawe akamwambia: “Mataifa mawili yako ndani ya tumbo lako; makabila mawili yatakayozaliwa nawe, yatatengana. Moja litakuwa lenye nguvu kuliko lingine, mukubwa atamutumikia mudogo.”
Муқоиса
Mwanzo 25:23 омӯзед
2
Mwanzo 25:30
Kwa hiyo Esau akamwambia Yakobo: “Ninasikia njaa. Tafazali, unigawanyie muchuzi huo mwekundu nikule.” Ndiyo maana walimupanga jina Edomu, maana yake “mwekundu”.
Mwanzo 25:30 омӯзед
3
Mwanzo 25:21
Rebeka alikuwa tasa, kwa hiyo Isaka akamwomba Yawe. Naye Yawe akakubali ombi lake, Rebeka akapata mimba.
Mwanzo 25:21 омӯзед
4
Mwanzo 25:32-33
Esau akasema: “Sawa! Niko karibu kufa. Haki yangu ya muzaliwa wa kwanza itanifaa nini?” Yakobo akamwambia: “Uniapie kwanza.” Basi, Esau akamwapia na kumwuzishia Yakobo haki yake ya muzaliwa wa kwanza.
Mwanzo 25:32-33 омӯзед
5
Mwanzo 25:26
Wa pili alizaliwa akiwa amemushika Esau kisigino, hivyo wakamupa jina Yakobo. Isaka alikuwa na umri wa miaka makumi sita wakati Esau na Yakobo walipozaliwa.
Mwanzo 25:26 омӯзед
6
Mwanzo 25:28
Basi, Isaka akamupenda Esau kwa sababu alipenda kula nyama wa mawindo yake, lakini Rebeka akamupenda Yakobo.
Mwanzo 25:28 омӯзед
Асосӣ
Китоби Муқаддас
Нақшаҳо
Видео