1
Waroma 7:25
Swahili Roehl Bible 1937
SRB37
Mungu atolewe shukrani kwa ajili ya Bwana wetu Yesu Kristo! Basi, kwa akili zangu mimi mwenyewe nayatumikia kitumwa Maonyo yake Mungu, lakini mwilini ni mtumwa wa maonyo ya ukosaji.
సరిపోల్చండి
Waroma 7:25 ని అన్వేషించండి
2
Waroma 7:18
Kwani najua: Humu ndani yangu, maana mwilini mwangu, hamna chema cho chote; kama ni kutaka, ninako, lakini kama ni kukifanya kilicho kizuri, sinako.
Waroma 7:18 ని అన్వేషించండి
3
Waroma 7:19
Kwani kilicho chema, ninachokitaka, sikifanyi; ila kilicho kiovu, nisichokitaka, ndicho, ninachokifanyiza.
Waroma 7:19 ని అన్వేషించండి
4
Waroma 7:20
Lakini mimi nisichokitaka, ninapokifanya hichohicho, basi, si mimi tena ninayekifanya, ila ndio ukosaji unaonikalia moyoni.
Waroma 7:20 ని అన్వేషించండి
5
Waroma 7:21-22
Hivyo mimi ninayetaka kukifanya kilicho kizuri, ninaona nguvu ngeni kwangu inayonishurutisha kukifanya kilicho kiovu. Kwani ninayaitikia Maonyo yake Mungu na kuyashangilia huku ndani moyoni.
Waroma 7:21-22 ని అన్వేషించండి
6
Waroma 7:16
Nami nisichokitaka, ninapokifanya hichohicho, basi, ninayaitikia Maonyo kuwa mazuri.*
Waroma 7:16 ని అన్వేషించండి