Soma Biblia Kila Siku 5Mfano

Danieli alikuwa katika wakati mgumu. Ndoto ya mfalme isipoelezwa na kutafsiriwa, matokeo yake yatakuwa ni kuuawa yeye, rafikize na wengine wa Babeli. Mtumishi wa Mungu, Danieli, anawashirikisha rafikize ili waingie katika maombi. Bila rehema ya Mungu haitawezekana. Mungu hujibu maombi, na kufunua siri ile. Ufunuo huo haumpi Danieli kiburi cha kujisifia kuwa anaweza. Kinachomlinda ni kwamba anamrudishia Mungu sifa zote. Tumia m.20-23 katika maombi yako ukimshukuru Mungu kwa aliyokupa.
Andiko
Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 5 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Tungependa kumshukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz/
Mipangilio yanayo husiana

Soma Biblia Kila Siku 12

BibleProject | Safari ya Kujifunza Kutoka Luka Na Matendo

Soma Biblia Kila Siku 8

Soma Biblia Kila Siku Aprili 2021

Soma Biblia Kila Siku 9

Soma Biblia Kila Siku 11

Soma Biblia Kila Siku Machi 2021

Soma Biblia Kila Siku 10

Uamuzi Mkubwa Zaidi wa Maisha Yako!
