Luka 6:33
Luka 6:33 Biblia Habari Njema (BHN)
Tena, kama mkiwatendea mema wale tu wanaowatendeeni mema, mtapata tuzo gani? Hata wenye dhambi hufanya hayo.
Shirikisha
Soma Luka 6Luka 6:33 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nanyi mkiwatendea mema wale wawatendeao mema, mwaonesha fadhili gani? Hata wenye dhambi hufanya vivyo hivyo.
Shirikisha
Soma Luka 6