Yohane 7:43-44
Yohane 7:43-44 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, kukatokea mafarakano juu yake katika ule umati wa watu. Baadhi ya watu walitaka kumtia nguvuni lakini hakuna aliyejaribu kumkamata.
Shirikisha
Soma Yohane 7Yohane 7:43-44 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Basi kukaingia matengano katika mkutano kwa ajili yake. Baadhi yao wakataka kumkamata, lakini hakuna mtu aliyenyosha mikono yake ili kumshika.
Shirikisha
Soma Yohane 7