Yeremia 51:40-41
Yeremia 51:40-41 Biblia Habari Njema (BHN)
Nitawashusha chini kama kondoo wa kuchinjwa, kama vile kondoo dume na beberu. Ajabu kutekwa kwa Babuloni; mji uliosifika duniani kote umechukuliwa! Babuloni umekuwa kinyaa kati ya mataifa!
Shirikisha
Soma Yeremia 51Yeremia 51:40-41 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nitawateremsha kama wana-kondoo machinjoni, kama kondoo dume pamoja na mabeberu. Jinsi Sheshaki alivyotwaliwa! Naye sifa ya dunia yote alivyoshambuliwa! Jinsi Babeli alivyokuwa ukiwa Katikati ya mataifa!
Shirikisha
Soma Yeremia 51