Waebrania 4:7
Waebrania 4:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Mungu aliweka siku nyingine ambayo inaitwa “Leo,” akasema baadaye kwa njia ya Daudi maneno yaliyokwisha tajwa: “Kama mkisikia sauti ya Mungu leo, msiwe wakaidi.”
Shirikisha
Soma Waebrania 4Waebrania 4:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
aweka tena siku fulani, akisema katika Daudi baada ya muda mwingi namna hii, Leo, kama ilivyonenwa tangu zamani, Leo, kama mkisikia sauti yake, Msifanye mioyo yenu migumu.
Shirikisha
Soma Waebrania 4