Waebrania 4:7 - Linganisha Matoleo Yote
Waebrania 4:7 BHN (Biblia Habari Njema)
Mungu aliweka siku nyingine ambayo inaitwa “Leo,” akasema baadaye kwa njia ya Daudi maneno yaliyokwisha tajwa: “Kama mkisikia sauti ya Mungu leo, msiwe wakaidi.”
Shirikisha
Waebrania 4 BHNWaebrania 4:7 SUV (Maandiko Matakatifu ya Mungu Yaitwayo Biblia)
aweka tena siku fulani, akisema katika Daudi baada ya muda mwingi namna hii, Leo; kama ilivyonenwa tangu zamani, Leo, kama mtaisikia sauti yake, Msifanye migumu mioyo yenu.
Shirikisha
Waebrania 4 SUVWaebrania 4:7 SRUV (Swahili Revised Union Version)
aweka tena siku fulani, akisema katika Daudi baada ya muda mwingi namna hii, Leo, kama ilivyonenwa tangu zamani, Leo, kama mkisikia sauti yake, Msifanye mioyo yenu migumu.
Shirikisha
Waebrania 4 SRUVWaebrania 4:7 NEN (Neno)
Kwa hiyo Mungu ameweka siku nyingine, akaiita “Leo”, akisema kwa kinywa cha Daudi baadaye sana, kwa maneno yaliyotangulia kunenwa: “Leo, mkiisikia sauti yake, msiifanye mioyo yenu migumu”.
Shirikisha
Waebrania 4 NEN