Mhubiri 6:7
Mhubiri 6:7 Biblia Habari Njema (BHN)
Kazi yote ya mtu ni kwa ajili ya kupata chakula, lakini tamaa yake ya kula haitoshelezwi kamwe.
Shirikisha
Soma Mhubiri 6Mhubiri 6:7 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Juhudi zote za binadamu ni kwa kinywa chake, Lakini hamu yake haitosheleki.
Shirikisha
Soma Mhubiri 6