Danieli 6:5
Danieli 6:5 Biblia Habari Njema (BHN)
Ndipo wakapatana hivi: “Hatutapata kisingizio chochote cha kumshtaki Danieli isipokuwa kama kisingizio hicho kitakuwa kinahusu sheria ya Mungu wake.”
Shirikisha
Soma Danieli 6Danieli 6:5 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Ndipo wale watu wakasema, Hatutapata sababu ya kumshitaki Danieli huyo, tusipoipata katika mambo ya sheria ya Mungu wake.
Shirikisha
Soma Danieli 6