1 Wakorintho 4:1-2
1 Wakorintho 4:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)
Mtu na atuone sisi kuwa ni watumishi wa Kristo tuliokabidhiwa siri za Mungu. Kinachotakiwa kwa yeyote yule aliyekabidhiwa kazi ni kuwa mwaminifu.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 41 Wakorintho 4:1-2 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Mtu na atuhesabu hivi, kuwa tu watumishi wa Kristo, na mawakili wa siri za Mungu. Hapo tena inayohitajiwa katika mawakili, ndiyo mtu aonekane kuwa mwaminifu.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 4