1 Wakorintho 2:13
1 Wakorintho 2:13 Biblia Habari Njema (BHN)
Basi, sisi twafundisha, si kwa maneno tuliyofundishwa na hekima ya binadamu, bali kwa maneno tuliyofundishwa na Roho, tukifafanua mambo ya kiroho kwa walio na huyo Roho.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 21 Wakorintho 2:13 Swahili Revised Union Version (SRUV)
Nayo twayanena, si kwa maneno yanayofundishwa kwa hekima ya kibinadamu, bali yanayofundishwa na Roho, tukiyafasiri mambo ya rohoni kwa maneno ya rohoni.
Shirikisha
Soma 1 Wakorintho 2