Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 2:12-13

Waroma 2:12-13 BHN

Wale wanaotenda dhambi bila kuijua sheria wataangamia ingawaje hawaijui sheria. Na wale wanaotenda dhambi wakiwa wanaijua sheria watahukumiwa kisheria. Maana sio wanaosikia sheria ndio walio waadilifu mbele ya Mungu, ila wenye kuitii sheria ndio watakaokubaliwa kuwa waadilifu.

Video ya Waroma 2:12-13