Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Waroma 2:10-11

Waroma 2:10-11 BHN

Lakini Mungu atawapa utukufu, heshima na amani wale wanaotenda mema; Wayahudi kwanza, na watu wa mataifa mengine pia. Maana Mungu hambagui mtu yeyote.

Video ya Waroma 2:10-11